Bani Israil 17:50 ۞ قل كونوا حجارة او حديدا ٥٠
۞ قُلۡ
كُونُواْ
حِجَارَةً
أَوۡ
حَدِيدًا
٥٠
Sema: Kuweni hata mawe na chuma. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Waambie, ewe Mtume, kwa njia ya kuwafanya washindwe, «Kuweni na nguvu na ugumu kama mawe au chuma mkiweza hilo.